Adam kijana anayetokea katika familia ya kimasikini
anaelekea mjini kutafuta maisha lakini baada ya kufika mjini ugumu wa maisha
unazidi kutanda kwake,ili kujinasua na umasikini huu Adam anaamua kwenda kwa
mganga kutafta utajili kufika huko anapewa sharti la kumuua baba yake mzazi.Baada
ya baba yake kufarikia Adam anafanikiwa kupata mali nyingi sana zikiambana na
masharti kibao. Baada ya muda Adam anakosea masharti na kupotea ghafra huku
maiti ya baba yake inabuka duniani na kuanza kusumbua watu. Fuatilia kisa hiki
hapa cha kusisimua
BOFYA HAPA
https://www.youtube.com/watch?v=BjZxUEU55oA&t=697s
USISAHAU
KU-SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YETU KWA MUVI KALI ZA KISWAHILI.
No comments:
Post a Comment