Friday, 23 March 2018

UTAJIRI WA KICHAWI -FILAMU MPYA ZA KISWAHILI 2018| BONGO MOVIES 2018


Mayoka kijana wa kisukuma ambaye anausaka utajiri kwa hali na mali.akiwa katika dimbwi la mawazo,ghafra anatokewa na wasichana wawili ambao wanajitambulisha kwake na kumwambia kile anachowaza. Ili awe tajiri haraka wanamuambia aoe msichana mmoja kati yao.Mayoka hakujua wasichana wale wanatoka katikati mwa bahari HINDI (MAJINI). Je, Mayoka atakubali kumuoa binti jini ili apate utajiri au akatae apoteze kila kitu ikiwemo uhai wake pamoja na familia yake kwa ujumla.


USISAHAU KU-SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YETU KWA MUVI KALI ZA KISWAHILI


SUGAR MAMA (PENZI LA MARIOO)


Mashaka kijana alikimbia jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kutafuta maisha, mjini hakuwa na ndugu hivyo akafikia kwa rafiki yake ambaye alikuwa amepingiwa chumba na wazazi wake. Baada ya kufika mjini,mashaka akafungua kijiwe cha kushona viatu,kandambili.Siku moja akiwa kijiweni,akaja mama mmoja wa makamo kwa ajili ya kupata huduma ya kurekebishiwa kiatu chake,hapo ndio Mashaka akajikuta akiingia katika vishawishi vya mama Yule. Mashaka akaanza maisha ya kimapenzi  kwa siri na jimama Yule bila ya kujua mama Yule ni mama wa rafiki yake wa damu aliyempokea jijini Dar es Salaam. Je,siku rafiki yake akijua Mashaka anatembea na mama yake mzazi atachukua hatua gani? Na ninani mwenye makosa kati yao?
FUATILIA KISA HIKI HAPA- 
https://www.youtube.com/watch?v=G_BMBWLiIMk&t=25s

USISAHAU KU-SUBSCRIBE KATIKA CHANNEL YETU KWA MOVIE KALI ZA KISWAHILI KILA SIKU.

CHUI MTU PART 1-FILAMU MPYA ZA KISWAHILI 2018| BONGO MOVIES 2018


Angel ameloewa na Frank, lakini hakujua kuwa Frank ni  nusu binadamu. Kila inapofika saa sita usiku, Frank hubadilka kuwa mnyama mithili ya chui na kisha kuanza kusaka binadamu kwa ajili ya kuwanyonya damu. Siku moja Angel anaamua kufanya uchunguzi wa kwanini mume wake huamka kila siku saa sita usiku na kuelekea porini.Je, Angel akijua ataweza kujinusuru mikononi mwa Frank hubadilika kudhuru yeyote ambaye hujitokeza katika mboni za macho yake? Bofya hapa kutazama story hii kali.

BOFYA HAPA- https://www.youtube.com/watch?v=jXeurcCc8Sc&t=25s


SAFARI YA KUZIMU.-BONGO MOVIES 2018| MOVIE ZA KUTISHA ZA KIBONGO




Filamu hii inahusu kisa cha wanafunzi walioekea katika msituni mmoja kwa ajili ya kufanya utafiti kama walivyoelekezwa na mwalimu wao lakini hawakujua kuwa mstuni huo ni lango la kuelekea kuzimu. Fuatilia kisa hiki hapa hapa.



USISAHAU KU-SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YETU KWA MUVI KALI ZA KISWAHILI.

MAITI INAYOTEMBEA PART 1-BONGO MOVIES ZA KICHAWI| SWAHILI LATEST FULL MOVIES| NEW BONGO MOVIES 2018


Adam kijana anayetokea katika familia ya kimasikini anaelekea mjini kutafuta maisha lakini baada ya kufika mjini ugumu wa maisha unazidi kutanda kwake,ili kujinasua na umasikini huu Adam anaamua kwenda kwa mganga kutafta utajili kufika huko anapewa sharti la kumuua baba yake mzazi.Baada ya baba yake kufarikia Adam anafanikiwa kupata mali nyingi sana zikiambana na masharti kibao. Baada ya muda Adam anakosea masharti na kupotea ghafra huku maiti ya baba yake inabuka duniani na kuanza kusumbua watu. Fuatilia kisa hiki hapa cha kusisimua
BOFYA HAPA


https://www.youtube.com/watch?v=BjZxUEU55oA&t=697s

USISAHAU KU-SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YETU KWA MUVI KALI ZA KISWAHILI.

MASAIBU-TAMTHILIYA MPYA 2018| NEW SWAHILI SERIES 2018| KENYA SWAHILI SERIES| BONGO MOVIES MPYA












Ni tamthiliya ya Kiswahili kutoka nchini Kenya inayozungumzia visa mbalimbali vinavyohusu mahusiano yetu ya kila siku. Baba yake Haruni anataka kumrithisha mtoto wake Kampuni yake kubwa iliyopo Kenya ila kwa sharti la kuoa kwanza.Haruni anakubali kwasababu tayari anamchumba anayeitwa Hariri ila kikwazo kinakuwa ni upande wa mama yake ambaye amemkataa binti. Upande wa pili Big Joe ambaye hana uwezo wa kumpa ujauzito mwanamke yeyote ile duniani  ila anapokea ujumbe kutoka kwa mke wake kuwa ni mjamzito. Je,Joe atachukua hatua gani dhidi ya mke wake? Na kwa vip Haruni ambaye ametakiwa kuoa ili akabidhiwe kampuni na baba yake ila mama yake hamtaki mwanamke aliyemleta kumtambulisha mbele yao. Fuatilia tamthiliya hii nzuri kutoka Kenya hapa hapa 24HRS SWAHILI STAR MOVIES NYUMBA YA BURUDANI

ILI UWE WA KWANZA KUPATA MOVIE MPYA KILA SIKU FANYA HIVI
SUBSCRIBE KWA KUBOFYA HAPA


https://goo.gl/23z6oN


 KISHA ENDELEA KUFURAHIA BURUDANI HII SAFI HAPA HAPA KILA SIKU.
SHARE NA NDUGU NA JAMAA PIA WAFURAHIE BURUDANI HII.

KAFARA YA DADA YANGU-FILAMU ZA KICHAWI|BONGO MOVIES ZA KICHAWI

FUATILIA KISA KIZIMA HAPA https://www.youtube.com/watch?v=c8H3XaZFvVM&t=1337s USISAHAU KU-SUBSCRIBE KATIKA CHANNEL Y...