Friday, 23 March 2018

MASAIBU-TAMTHILIYA MPYA 2018| NEW SWAHILI SERIES 2018| KENYA SWAHILI SERIES| BONGO MOVIES MPYA












Ni tamthiliya ya Kiswahili kutoka nchini Kenya inayozungumzia visa mbalimbali vinavyohusu mahusiano yetu ya kila siku. Baba yake Haruni anataka kumrithisha mtoto wake Kampuni yake kubwa iliyopo Kenya ila kwa sharti la kuoa kwanza.Haruni anakubali kwasababu tayari anamchumba anayeitwa Hariri ila kikwazo kinakuwa ni upande wa mama yake ambaye amemkataa binti. Upande wa pili Big Joe ambaye hana uwezo wa kumpa ujauzito mwanamke yeyote ile duniani  ila anapokea ujumbe kutoka kwa mke wake kuwa ni mjamzito. Je,Joe atachukua hatua gani dhidi ya mke wake? Na kwa vip Haruni ambaye ametakiwa kuoa ili akabidhiwe kampuni na baba yake ila mama yake hamtaki mwanamke aliyemleta kumtambulisha mbele yao. Fuatilia tamthiliya hii nzuri kutoka Kenya hapa hapa 24HRS SWAHILI STAR MOVIES NYUMBA YA BURUDANI

ILI UWE WA KWANZA KUPATA MOVIE MPYA KILA SIKU FANYA HIVI
SUBSCRIBE KWA KUBOFYA HAPA


https://goo.gl/23z6oN


 KISHA ENDELEA KUFURAHIA BURUDANI HII SAFI HAPA HAPA KILA SIKU.
SHARE NA NDUGU NA JAMAA PIA WAFURAHIE BURUDANI HII.

No comments:

Post a Comment

KAFARA YA DADA YANGU-FILAMU ZA KICHAWI|BONGO MOVIES ZA KICHAWI

FUATILIA KISA KIZIMA HAPA https://www.youtube.com/watch?v=c8H3XaZFvVM&t=1337s USISAHAU KU-SUBSCRIBE KATIKA CHANNEL Y...